JAMBO TV
JAMBO TV
  • Видео 1 519
  • Просмотров 7 918 107

Видео

BOB CHACHA WANGWE AWAPA TAHADHARI MBOWE NA LISSU KUELEKEA 2025A AMTAJA JENERALI ULIMWENGU URAIS,,,
Просмотров 2,1 тыс.14 часов назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
UTACHEKA HII! DOTTO MAGARI ALIVYOICHAMBUA SINZA, ASEMA FRIENDS OF SINZA NI KIBOKO "NITAKIMBIA KL 40"
Просмотров 1812 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
HOFU NCHINI ISRAEL YATANDA/ICC KUCHUKUA HATUA KUHUSU MAUAJI YA KIMBARI GAZA...
Просмотров 2992 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
MSIGWA AWAKA MBELE YA TUNDU LISSU ''MAMLAKA YATATOKA KWA WANANCHI NYINYI HAMNA MADARAKA HAYO''...
Просмотров 14 тыс.2 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
WEZI WAKUVUNJA NYUMBA NA KUIBA TV WAKAMATWA/ZAIDI YA TV 35 ZA WIZI ZIMEKAMATWA/WENYE MALI MZIFATE...
Просмотров 1,8 тыс.2 часа назад
#JAMBOTV WEZI WAKUVUNJA NYUMBA NA KUIBA TV WAKAMATWA/ZAIDI YA TV 35 ZA WIZI ZIMEKAMATWA/WENYE MALI MZIFATE... ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
CHADEMA KIBAMBA WAISHUKIA SERIKALI UBOVU WA MIUNDOMBINU/ YA NYOOSHEA KIDOLE TUME YA UCHAGUZI
Просмотров 1 тыс.2 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
SINZA KWA WAJANJA MARATHON KUCHANGIA VIFAA TIBA KWA WODI YA WAZAZI YA HOSPITALI YA PALESTINA
Просмотров 1072 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
WABUNGE 'WALIVYOMUWEKA MTU KATI' NAIBU WAZIRI UCHUKUZI/ APANGUA HOJA KWA UTULIVU MKUBWA
Просмотров 1984 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
MBATIA ASHINDA KESI DHIDI YA SELASINI SASA KULIPWA MILIONI 80
Просмотров 5 тыс.4 часа назад
#JAMBOTV ........... Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►RUclips: www.youtube.com/@Jambotv908 ►INSTAGRAM: jambotv ►TWITTER: jambotv_ ►FACEBOOK: jambotv ►WEBSITE: jambo.tz/
WAITARA AOMBA VIJIJI HIVI HAPA KUINGIA MRADI ZIWA VICTORIA
Просмотров 1544 часа назад
WAITARA AOMBA VIJIJI HIVI HAPA KUINGIA MRADI ZIWA VICTORIA
RC MARA APIGA KICHURI NA BODABODA TARIME HUKU AKISIKILIZA KERO ZAO
Просмотров 9614 часа назад
RC MARA APIGA KICHURI NA BODABODA TARIME HUKU AKISIKILIZA KERO ZAO
FAMILIA YA MUMEWE YAMTELEKEZA NA WATOTO WATANO/TAASISI YAJITOKEZA KUMJENGEA NYUMBA MPYA..
Просмотров 3097 часов назад
FAMILIA YA MUMEWE YAMTELEKEZA NA WATOTO WATANO/TAASISI YAJITOKEZA KUMJENGEA NYUMBA MPYA..
LISSU AMUWEKA MBOWE NJIA PANDA "RUSHWA IMEJAA CHADEMA"..
Просмотров 17 тыс.7 часов назад
LISSU AMUWEKA MBOWE NJIA PANDA "RUSHWA IMEJAA CHADEMA"..
WANAOHUSIANA NA WANAFUNZI KIMAPENZI KUKIONA/ RC SONGWE, TAKUKURU WACHARUKA
Просмотров 2257 часов назад
WANAOHUSIANA NA WANAFUNZI KIMAPENZI KUKIONA/ RC SONGWE, TAKUKURU WACHARUKA
'WADUDU' WALA KIAPO KWA RC MAKONDA/ WAAHIDI KUWA WAADILIFU KWA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU ARUSHA.
Просмотров 8927 часов назад
'WADUDU' WALA KIAPO KWA RC MAKONDA/ WAAHIDI KUWA WAADILIFU KWA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU ARUSHA.
SAKATA LA TEMBO LATIKISA BUNGENI/ MBUNGE WA MBARALI ALIIBUA TENA/ SPIKA APIGILIA MSUMALI
Просмотров 1127 часов назад
SAKATA LA TEMBO LATIKISA BUNGENI/ MBUNGE WA MBARALI ALIIBUA TENA/ SPIKA APIGILIA MSUMALI
WAZIRI PINDI CHANA ASIMULIA KISA CHA MAMA ALIYE UA WATOTO WAKE KWA DAWA KUOSHEA MBWA/NILIKATA TAMAA
Просмотров 4257 часов назад
WAZIRI PINDI CHANA ASIMULIA KISA CHA MAMA ALIYE UA WATOTO WAKE KWA DAWA KUOSHEA MBWA/NILIKATA TAMAA
SABABU YA VITA KUTOISHA KONGO/ M23/ UTAJIRI WA MADINI/RWANDA YAHUSISHWA........
Просмотров 5699 часов назад
SABABU YA VITA KUTOISHA KONGO/ M23/ UTAJIRI WA MADINI/RWANDA YAHUSISHWA........
RC MTAMBI AWATOA HOFU WATUMISHI KUHUSU STAHIKI ZAO.
Просмотров 2269 часов назад
RC MTAMBI AWATOA HOFU WATUMISHI KUHUSU STAHIKI ZAO.
BULAYA :NITAENDELEA KUOMBA KUBORESHWA MASLAHI YA WATUMISHI
Просмотров 1,2 тыс.9 часов назад
BULAYA :NITAENDELEA KUOMBA KUBORESHWA MASLAHI YA WATUMISHI
MPINA AWALIPUA MAWAZIRI "SIJAENDA KUCHEZA DISKO NA MAWAZIRI BUNGENI", SIWATUKANI.....
Просмотров 2,7 тыс.9 часов назад
MPINA AWALIPUA MAWAZIRI "SIJAENDA KUCHEZA DISKO NA MAWAZIRI BUNGENI", SIWATUKANI.....
MBOWE AVUNJA UKIMYA SAKATA LINALOENDELEA''KWANINI SERIKALI HAIZINGATII MAMBO KAMA HAYA''HOTUBA..
Просмотров 13 тыс.9 часов назад
MBOWE AVUNJA UKIMYA SAKATA LINALOENDELEA''KWANINI SERIKALI HAIZINGATII MAMBO KAMA HAYA''HOTUBA..
TAZAMA HOTUBA YA MAKAMU WA RAIS PHILIP MPANGO JIJINI ARUSHA MEI MOSI/VIOMGOZI WABAKI MIDOMO WAZI...
Просмотров 4,6 тыс.9 часов назад
TAZAMA HOTUBA YA MAKAMU WA RAIS PHILIP MPANGO JIJINI ARUSHA MEI MOSI/VIOMGOZI WABAKI MIDOMO WAZI...
HOTUBA YA WAZIRI MKUU SIKU YA MEI MOSI AKILI KUONA KAZI YA MAKONDA ARUSHA HADHARANI...
Просмотров 7 тыс.9 часов назад
HOTUBA YA WAZIRI MKUU SIKU YA MEI MOSI AKILI KUONA KAZI YA MAKONDA ARUSHA HADHARANI...
TAZAMA WADUDU WAKIWASHA MBELE YA MAKAMU WA RAIS, WAZIRI MKUU/WASIMAMA WADUDU WAKIINGIA UWANJANI..
Просмотров 23 тыс.9 часов назад
TAZAMA WADUDU WAKIWASHA MBELE YA MAKAMU WA RAIS, WAZIRI MKUU/WASIMAMA WADUDU WAKIINGIA UWANJANI..
HOTUBA YA MAKONDA ARUSHA ''HAPA NITAKOROGA MAMBO'' AKIWAASHA KAMA KAWAIDA YAKE MBELE YA MAKAMU RAIS.
Просмотров 7 тыс.9 часов назад
HOTUBA YA MAKONDA ARUSHA ''HAPA NITAKOROGA MAMBO'' AKIWAASHA KAMA KAWAIDA YAKE MBELE YA MAKAMU RAIS.
TAZAMA FATAKI ZARINDIMA USIKU HUU ARUSHA MAKONDA ASHUHUDIA
Просмотров 6 тыс.9 часов назад
TAZAMA FATAKI ZARINDIMA USIKU HUU ARUSHA MAKONDA ASHUHUDIA
AZAKAVELI LWAITAMA AWAACHA HOI WANA MOROGORO ''SHULENI WALIMU HAMNA VIJANA WAMEMALIZA VYUO''....
Просмотров 3 тыс.12 часов назад
AZAKAVELI LWAITAMA AWAACHA HOI WANA MOROGORO ''SHULENI WALIMU HAMNA VIJANA WAMEMALIZA VYUO''....
MAMBO 10 YA PROF. KITILA KWENYE KUKUZA UTALII NCHINI/ AONGOZA KONGAMANO LA UWEKEZAJI ARUSHA
Просмотров 2,2 тыс.12 часов назад
MAMBO 10 YA PROF. KITILA KWENYE KUKUZA UTALII NCHINI/ AONGOZA KONGAMANO LA UWEKEZAJI ARUSHA

Комментарии

  • @deodathrobertquacker3879
    @deodathrobertquacker3879 2 часа назад

    Inabidi tusogee mataa ubungo

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 2 часа назад

    Hawa ccm wa bara wana juwa haya alooo nitaipenda chadema

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 2 часа назад

    Fatuma hana uzarendo

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 2 часа назад

    Sawa kabisa wanauza kwa kuwa siyo kwao hawana mpango na sisi

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 3 часа назад

    Ili kupunguza migogoro hii ya kusema kura zinaibiwa kwa nn usiwepo utaratibu wa upigaji kura hadharani isiwe ndani ya Box? Nachomaanisha kwenye utaratibu wa mistari ya upigaji kura chadema wawe na msitari wao na CCM na vyama vingine vyote kwa uwazi kabisa kuondoa sintofahamu

  • @BonaventureJohn-mk6xh
    @BonaventureJohn-mk6xh 3 часа назад

    Tuwe na akili, Mbowe si mwenye chama, chama ni Cha wanachama. Msajili wa vyama Kwa mujibu wa Sheria za Tz hawezi kusajili chama Cha mtu mmoja anayeitwa Mbowe.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 7 часов назад

    Chadema ni mijinga kumbe kiasi hiki.ccm daima miaka yote kumbe safi.baada mgetulia ndo kwanza mnanza kuzinguana duh kumbe wote ni mijinga

  • @CafeJohn-jz8ri
    @CafeJohn-jz8ri 8 часов назад

    Vibaka wa arusha mushakula kiapo hakuna kuibiana kila mtu atafute kwa jasho makonda kasema ikiiba au kupola pochi ya mtu unauwawa makonda nijembe haswa bodaboda ndo wamezi kwa kukatakata watu na kuwapola watu vitu vyao dawa yenu nimakoda mkikamatwa hamunabati mrityima amani ikifika saa mbiri unaanza kuwaza unafikaje nyumbani

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 9 часов назад

    Hizi sasa ni siasa gani wewe pimbi

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 13 часов назад

    Uyu mwongeaji ni JINGA, Pumbavu mavi yako. Nani kakutuma?

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r 13 часов назад

    Hawa jambo nao?

  • @maase2023
    @maase2023 13 часов назад

    Huyu mnafiki sana

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 13 часов назад

    SSH❤HANA MPINZANI 🇹🇿🇹🇿💯💯

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 13 часов назад

    Jambo mmehamua kuwa watu wa propaganda,hamtaweza kuiua CHADEMA!!!.Subiri muda utafika halafu tuone huo mvurugano!

  • @frediboyi
    @frediboyi 17 часов назад

    ❤❤❤❤❤❤fredi boyi

  • @user-zo8ep4rz3l
    @user-zo8ep4rz3l 23 часа назад

    Tatizo lipo wapi

  • @JohnChacha-cy3fz
    @JohnChacha-cy3fz День назад

    Hiiiii

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q День назад

    Marazoni😂😂😂Dotto bwana

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 День назад

    Ccm hatuwataki kabisa aisee

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 День назад

    Akina Nape na Makonda ni machawa wa Samia

    • @user-tb8zb4rv6h
      @user-tb8zb4rv6h 14 часов назад

      Hata huyo tundu lisu ni chama wa wazungu altwambia watanzania nanuku muke wangu amepata kazi ubergiji watoto wangu ni rais wa Marekani hata yeye huja Tanzania kwa matukio kama hayo ya mandamano

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 День назад

    Juzi tumetangaziwa umeme upo wa kutosha jamani vipi mbona siku ya tatu hii umeme tunapunjwa?

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 День назад

    Myatembea barabarani hamtaingoa CCM

    • @gangan4618
      @gangan4618 14 часов назад

      Sawa kenge wa kijani...

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 День назад

    Ovyo wewe

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi День назад

    sisi tuko mbali.huku goma congo.ila mumgu ni.mwema tupo pamoja kamanda

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 День назад

    Mm anaongea nini huyu.Jamani kwani hata darasa la nne kafika kweli

    • @gangan4618
      @gangan4618 15 часов назад

      Umefka wewe kenge wa kijana wa Chama Cha Majambazi"CCM".

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz День назад

    Mimi ni CCM lakini Uyu jamaa namkubali anasema maneno ya kiakili bila ya kutukana

  • @PILISONJE
    @PILISONJE День назад

    Wamenuna kwa vile umemsingizia magu ni dhambi

  • @gabrielmwikanu1160
    @gabrielmwikanu1160 День назад

    Wtanaporojo kweli kweli Njaa tupu msigwa, Ulipokuwa mbunge wa jimbo hilo kipi cha maana ulitchowafanyia wana Iringa ??-

  • @aproxaprox
    @aproxaprox День назад

    15 : 46 " tumempeleka NAIROBI kama mfu" Mzee wacha uongo! 😭😭 Wazanzibar munaowatukana leo hii ndio walimpeleka Tundu lissu Nairobi, sio nyinyi chadema wala sio watanganyika milioni 61, TURKIY ni mzanzibar, muislam, chama chake ni CCM huyo lissu ni mtanganyika, mkristo na chama chake ni Chadema lakini marehem Turkiy alijali utu na akampeleka huko NAIROBI kwa pesa zake na nyinyi hamkutoa hata cent tano! Na mzanzibar mama SAMIA ndio kiongozi pekee wa serikal aliekuja kukuona huko NAIROBI

  • @danielkanso
    @danielkanso День назад

    Safi sana kamanda na makamanda

  • @danielkanso
    @danielkanso День назад

    Hongereni jeshi kwa kazi yenu nzuri

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h День назад

    Hata mze mutei wakati akiwa gavana wa bank kuu alikua na card ya ccm hiyo siohoja mheshimiwa

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z День назад

    Sasa lissu wambie ww ukiwa rais utafanya maajabu gani hiyo nchi ili isiwe na mambo hayo yanayo fanywa na hao CCM ww upo na kuongea maandamani na kumsema rais tu au hizo ndio sera zako za kumsema rais vibaya ndio sera ambazo zitaweza kupa kura za urais ongea sera zako basi bila ya kumsema vibaya rais ww utafanya maajabu gani ya Mussa ww unaropokwa tu izo sio sera tunataka sera zako ukichukua nchi utafanya nini maajabu gani ya Mussa utayafanya hiyo nchi ww unaropokwa tu

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g День назад

    Hivi SALIMU MWALIMU HAWEZI GOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KWAKUWA NI MZANZIBAR

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h День назад

    Hata mbowe alikuwa na card ya ccm

  • @rommelmauma5872
    @rommelmauma5872 День назад

    Mwaka 1964 nilikuwa kidato cha 5 shule ya sekondari ya Tabora-Wavulana. Dai / hoja kuwa Julius Nyerere aliagiza mwaka 1964 kwamba "...huwezi kwenda chuo kikuu...bila kuwa na kadi ya TANU..." si kweli. Wanafunzi waliingia chuo kikuu bila kuwa na kadi ya TANU! Azimio la Musoma [1972] liliwataka wafanyakazi wenye uzoefu wa miaka miwili - waliomaliza kidato cha tatu wawezeshwe kujiunga na chuo kikuu [kupitia mfumo wa "Mature Age Entrance Examination" ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, uliosimamiwa na Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima nilikokuwa Mkufunzi Mkazi / Mhadhiri [Resident Tutor / Lecturer]. Ili waweze kuthibitishwa na waajiri wao, sifa zilizitakiwa zilikuwa ni pamoja na maadili mema kazini na uanachama wa TANU - rejea, Miiko ya Uongozi na Chama Kushika Hatamu.

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 День назад

    Good job my brother msigwa

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 День назад

    Na wambieni ukweli wananchi bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuitoa ccm madarakani ni ndoto ya mchana

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z День назад

    Kila mwana siasa anavytia ulaji wake na family yake Tanzania hakuna siasa za ukweli ni wapigaji tu

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z День назад

    Sema wazungu wanaakili sana mana wakimsikiliza lissu maongezi yake yy kabezi mambo mawili kuandamana na kumsema rais sasa wazungu wanamuelewa vizuri sana lengo lake ni nini lakini hizo ni siasa mbovu za kitanzania wapigaji watupu

  • @AmriMzeru
    @AmriMzeru День назад

    Sasa kuna nchi gani duniani ambayo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wanachaguliwa ,alete mfano wa nchi ambayo mkuu wa jeshi anachaguliwa ,

  • @robertmhilu132
    @robertmhilu132 День назад

    Serikali kiukweli imefanya mambo mengi sana mazuri kuna vijiji hatukutegemea kama vingepata umeme, wengine tulishazoea kwenda kuoga au kufua mtoni sasa hivi maji yako mitaani barabara zimefika vijijini ambako hatukutegemea kiikweli katika hayo tuwapongeze tu

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 День назад

    Kwahiyo kaka msigwa wewe unakadi ya chama cha mapinduzi mana wewe una passport

  • @AmriMzeru
    @AmriMzeru День назад

    Naona mmeanza na sera za kugombanisha watanzania Kwani CCM ni chama cha nchi gani

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 День назад

    Tatizo la Hapa kwetu,siasa ni kazi zenu na ajira zenu,, mnalalamika 😅 nn ,, makonda kawapa majibu sahihi kuwa Tatizo ni watendaji, na Watumishi wazembe,, mmempinga ili mueendelee kupata fulsa za umbeya,, Na mnatetea wezi na wafanyakazi wazembe wanakula rushwa nyie ndo wateja wenu,kwa kumpinga Magufuli na makonda, wezi tuu nyie..

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 День назад

    Acha njaa wewe, bado wewe beba kadi ya ccm Chapu

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z День назад

    Mnajichosha vipi na mnafanya mazoezi kwa afya yenu sio mbaya.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA День назад

    CHADOMO.😂 Hebu tuelezeni sera zenu badala ya hizi porojo za kila siku

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn День назад

    Nimekubaliana na kichwa cha habari cha clipp hii, "Msigwa awaka" ni kweli jamaa huyu amewaka! Na sasa nina mtihani mkubwa sana kwenye ile orodha yangu ya wananapinduzi duniani/tanzania kuongeza na kutoa watu. Huyu naye - Msigwa - anaashiria nimuongeze kwenye orodha. Niwakumbushe mtihani nilionao! Kumbuka kipindi kile Mbunge Waitara alipowalilia wananchi wa jimbo lake bungeni kuhusu manyanyaso ya mipaka, haraka nikamuingiza kwenye orodha ya wanamapinduzi. Mara, baadae kidogo nikashangaa akalia na kutoa povu bungeni ya kwamba mkataba wa bandari zetu kukabidhiwa waarabu ni safi sana na kwamba mama (rais) apewe maua yake kwa kuuza bandari, papo hapo nikamtoa tena kwenye orodha ya wanamapinduzi na nikamrudisha orodha ya wapinga mapinduzi kwa tanzania ikiongozwa na mzee Steaven Wasira! Kazi kweli kweli! Msigwa, usiyumbe, uwe na msimamo huohuo. Katika haya namkumbuka sana mdogo wangu Ustaadhi Gershon Msigwa. Naye aliwaka sana na kusimama bega kwa bega na bro Magufuli kutetea wanyonge. Mara nikashtukia anatetea waarabu wapewewe bandari. Nakumbuka usemi wake mkubwa kwa wananchi akiwaaminisha kwamba, "waarabu wakikabidhiwa bandari serikali itavuna hela nyingi sana na maisha ya wananchi yataboreka sana." Sasa sijajua leo yuko wapi ili kuthibitisha vibe yake dhidi ya mateso/umasikini/maisha magumu yanayotesa wananchi hii leo kila kukicha licha ya bandari kukabidhiwa ndugu zetu waarabu! Ila ndgu yangu Gershon asiwe na wasiwasi, yupo nafasi ya juu kabisa katika ile orodha yangu ya wapinga mapinduzi duniani kanda ya Tanzania!

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri День назад

    AKILI ZENU NYINYI.CHADEMA BADO ZIKO UCHI KAMAMNAANZA KUTU KUTUNTENGAnisha matabaka na ukabila na udini